PRESS RELEASE
Kigali, 11 January 2024
Serikali ya Rwanda imefahamu kupitia taarifa za vyombo vya habari, uamuzi wa upande mmoja, wa Serikali ya Burundi wa kufunga tena mipaka yake na Rwanda.
Ni wazi uamuzi huu utazuia uhuru wa watu na bidhaa kuweza kuvuka baina ya nchi hizi mbili, na kuvuruga misingi ya ushirikiano na umoja wa kikanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
MWISHO
Rwanda inajizatiti kama moja ya wazalishaji wakuu wa tungsten duniani, ikiwa ya 7 duniani na ya kwanza barani Afrika. Mafanikio haya yanatokana na Mgo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda…
Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana mara baada ya…
On 13th May, 2024, Rwanda High Commission in Tanzania administered an oath, and issued a Certificate of Rwandan Nationality, to Ms. Anoek De Smet, a…