Balozi Mteule Jenerali Nyamvumba akutana na Waziri Kombo
Siku ya Jumatatu tarehe 05 Agosti, 2024; Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Gen. Patrick Nyamvumba aliwasilisha Nakala ya Hati za Utambulisho kwa Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (MB); Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania.

Katika mazungumzo yao, viongzi hawa walitazama jitihada mbalimbali za ushirikiano wa kidiplomasia zilizopo baina ya Tanzania na Rwanda, huku wakiweka dhamira kubwa ya kuendeleza urafiki na undugu uliopo kwa faida ya ustawi wa watu wake.

Rwanda inajizatiti kama moja ya wazalishaji wakuu wa tungsten duniani, ikiwa ya 7 duniani na ya kwanza barani Afrika. Mafanikio haya yanatokana na Mgo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda…
Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana mara baada ya…
On 13th May, 2024, Rwanda High Commission in Tanzania administered an oath, and issued a Certificate of Rwandan Nationality, to Ms. Anoek De Smet, a…
The 30th Commemoration of the genocide against the Tutsi was held in Dar es salaam on 7th April, 2024. The event was organised by the Rwanda High…