| News |

Balozi Mteule Jenerali Nyamvumba akutana na Waziri Kombo

Siku ya Jumatatu tarehe 05 Agosti, 2024; Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Gen. Patrick Nyamvumba aliwasilisha Nakala ya Hati za Utambulisho kwa Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (MB); Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania.

Katika mazungumzo yao, viongzi hawa walitazama jitihada mbalimbali za ushirikiano wa kidiplomasia zilizopo baina ya Tanzania na Rwanda, huku wakiweka dhamira kubwa ya kuendeleza urafiki na undugu uliopo kwa faida ya ustawi wa watu wake.

Whatsapp

  | Economic |

Rwanda yakomaa na uzalishaji wa Tungsten

Rwanda inajizatiti kama moja ya wazalishaji wakuu wa tungsten duniani, ikiwa ya 7 duniani na ya kwanza barani Afrika. Mafanikio haya yanatokana na Mgo…

Read more →
  | Diplomacy |

RWANDA REJECTS SADC SUMMIT ACCUSATIONS AGAINST THE RDF

Rwanda rejects the accusations against the Rwanda Defence Force (RDF) made in the statement of the Extraordinary Summit of the Southern African…
Read more →
  | Tanzania Embassy |

Balozi Mteule Nyamvumba awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda…

Read more →
  | News |

Balozi Harerimana amaliza muda wake wa kazi nchini Tanzania, amuaga Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana mara baada ya…

Read more →
  | News |

Rwandan Community welcomes a new member

On 13th May, 2024, Rwanda High Commission in Tanzania administered an oath, and issued a Certificate of Rwandan Nationality, to Ms. Anoek De Smet, a…

Read more →
  | News |

Rwanda in Tanzania marks Kwibuka30 with ‘A Walk To Remember’

The 30th Commemoration of the genocide against the Tutsi was held in Dar es salaam on 7th April, 2024. The event was organised by the Rwanda High…

Read more →
-->