NI WAKATI MWINGINE WA "UMUSHYIKIRANO"
Umushyikirano au National Dialogue Council ni baraza huru ambapo wananchi na viongozi nchini Rwanda wanakutana na kujadili kuhusu mustakabali wa taifa. Maswali yanaulizwa na kujibiwa papo kwa papo.
Uwajibikaji na ushirikishaji wa wananchi katika mipango ya maendeleo ni kipaumbele kupitia utamaduni huu.Ni lengo hasa ili kuwashirikisha wananchi katika kufanya maamuzi yanayohusu ustawi wa maisha yao.

Kila mwaka takribani watu elfu moja hupata nafasi ya kushiriki kwa kufika eneo la mkutano, huku maelfu wengine wakifuatilia kupitia runinga, radio na mitandao ya kijamii.
Hili litakuwa baraza la 19 toka kuanza kwa utaratibu huu hapo tarehe 28.6.2003.
Rwanda inajizatiti kama moja ya wazalishaji wakuu wa tungsten duniani, ikiwa ya 7 duniani na ya kwanza barani Afrika. Mafanikio haya yanatokana na Mgo…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda…
Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana mara baada ya…
On 13th May, 2024, Rwanda High Commission in Tanzania administered an oath, and issued a Certificate of Rwandan Nationality, to Ms. Anoek De Smet, a…