| News |

NI WAKATI MWINGINE WA "UMUSHYIKIRANO"

Umushyikirano au National Dialogue Council ni baraza huru ambapo wananchi na viongozi nchini Rwanda wanakutana na kujadili kuhusu mustakabali wa taifa. Maswali yanaulizwa na kujibiwa papo kwa papo.

Uwajibikaji na ushirikishaji wa wananchi katika mipango ya maendeleo ni kipaumbele kupitia utamaduni huu.Ni lengo hasa ili kuwashirikisha wananchi katika kufanya maamuzi yanayohusu ustawi wa maisha yao.

Kila mwaka takribani watu elfu moja hupata nafasi ya kushiriki kwa kufika eneo la mkutano, huku maelfu wengine wakifuatilia kupitia runinga, radio na mitandao ya kijamii.

Hili litakuwa baraza la 19 toka kuanza kwa utaratibu huu hapo tarehe 28.6.2003.

Whatsapp

  | Economic |

Rwanda yakomaa na uzalishaji wa Tungsten

Rwanda inajizatiti kama moja ya wazalishaji wakuu wa tungsten duniani, ikiwa ya 7 duniani na ya kwanza barani Afrika. Mafanikio haya yanatokana na Mgo…

Read more →
  | Diplomacy |

RWANDA REJECTS SADC SUMMIT ACCUSATIONS AGAINST THE RDF

Rwanda rejects the accusations against the Rwanda Defence Force (RDF) made in the statement of the Extraordinary Summit of the Southern African…
Read more →
  | Tanzania Embassy |

Balozi Mteule Nyamvumba awasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda…

Read more →
  | News |

Balozi Mteule Jenerali Nyamvumba akutana na Waziri Kombo

Balozi Mteule wa Jamhuri ya Rwanda katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Gen. Patrick Nyamvumba awasilisha Nakala ya Hati za Utambulisho kwa…
Read more →
  | News |

Balozi Harerimana amaliza muda wake wa kazi nchini Tanzania, amuaga Rais Samia

Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiagana na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania Mhe. Fatou Harerimana mara baada ya…

Read more →
  | News |

Rwandan Community welcomes a new member

On 13th May, 2024, Rwanda High Commission in Tanzania administered an oath, and issued a Certificate of Rwandan Nationality, to Ms. Anoek De Smet, a…

Read more →
-->